24 Aprili 2025 - 05:21
Sheikh Mtulia katika Darsa la Subhi ya Kimaanawi / Kiroho - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salam - Tanzania + Video

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Sheikh Mtulia akitoa Darsa ya Akhlaq / Subhi Maanawi - Subhi ya Kiroho katika Chuo cha Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salam - Tanzania.

Sheikh Mtulia katika Darsa la Subhi ya Kimaanawi / Kiroho - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salam - Tanzania + Video

Katika Darsa hili, amewausia Wanafunzi kuomba Dua njema kwa Mwenyezi Mungu ili awapatie na kuwaruzuku daima Vitu vizuri vitakavyokuwa ni sababu ya kuzifurahisha Nyoyo na Nafsi zao kwa kuvitizama.

Sheikh Mtulia katika Darsa la Subhi ya Kimaanawi / Kiroho - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salam - Tanzania + Video

Sheikh Mtulia, akitoa ufafanuzi Muhimu katika Darsa lake kwa Wanafunzi wa Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-salaam - Tanzania.

Sheikh Mtulia katika Darsa la Subhi ya Kimaanawi / Kiroho - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salam - Tanzania + Video

Ametoa mfano hai kuhusu hilo kama vile mtu kuomba Mwenyezi Mungu akuruzuku kupitia Mke wako Mtoto Mwema atakayekuwa furaha ya macho kwa kumtizama, kama alivyokuwa Sayyidat Fatima (s.a) kwa Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w).

Sheikh Mtulia katika Darsa la Subhi ya Kimaanawi / Kiroho - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salam - Tanzania + Video

Your Comment

You are replying to: .
captcha